BREAKING
  • FANGASI UKENI

    Pata suluhisho la tatizo la fangasi ukeni pamoja na ushauri utakaokufanya uwe salama daima

  • TIBA YA NGUVU ZA KIUME

    Okoa nyumba yako kwa kupata dawa itakayo ongeza nguvu zako za kiume na kudumisha unyumba daima

  • SULUHISHO LA U.T.I

    Je hauna ufahamu wowote kuhusu U.T.I ?Je Unakabiliwa na tatizo la U.T.I?Wasiliana nami nikujuze zaidi huenda una tatizo la U.T.I lakini haujijui,na kama unalo basi tiba yake ipo

  • TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO

    Je Umesumbuliwa na vidonda vya tumbo kwa muda mrefu pasina kupata suluhisho,wasiliana nami nikupatie dawa itakayoondoa tatizo lako kabisa

BannerFans.com

Jumatatu, 17 Agosti 2015

TIBA YA UGONJWA WA KUOTA KINYAMA SEHEMU ZA SIRI NA SEHEMU MBALIMBALI ZA MWILI (GENITAL WARTS & SKIN) IMEPATIKANA WAHI MATIBABU SASA!!!

FAHAMU UGONJWA WA MASUNDOSUNDO AU KUOTA VINYAMA SEHEMU ZA SIRI (GENITAL WARTS & SKIN)
Asalaam alaykum warhmatullah wabarakatul natumaini mnaendelea vizuri leo napenda kuzungumzia tatizo la kutokewa vinyama katika sehemu za siri na mwili au Masundosundo au vigwaru kwa kitaalamu tunauita GENITAL WARTS
~GENITAL WARTS ni nini?!!
~ni ugonjwa wa kuota vinyama Laini vidogovidogo vinavyoota kwenye ngozi au utando Laini unaozunguka maeneo ya sehemu za siri.
~vinyama hivyo vinaweza kutokea kwenye uume, uke, mrija wa mkojo (urethra), vulva, na shingo ya kizazi au maeneo yanayozunguka haja kubwa, ugonjwa huu huenezwa kwa njia ya kujamiiana (SEXUAL TRANSMITTED INFECTION (STI)
CHANZO CHA TATIZO HILI
Ugonjwa wa Masundosundo husababishwa na virus waitwao HUMAN PAPILLOMA VIRUS (HPV) hata hivyo Kuna Aina 70 tofauti za virus wa HPV hivyo sio wote wanaosababisha tatizo hili kwani Kuna ambao wanasababisha Masundosundo katika mwili sehemu tofauti kama vile mikono, miguu, mgongoni, NK pia wapo wanaosababisha saratani ya shingo ya kizazi (CARCINOMA OF THE CERVIX),saratani ya uume na saratani ya njia ya haja kubwa (ANAL CANCER) kwa jinsia zote mbili
°ugonjwa huu wa Masundosundo umejitokeza kwa kiasi kikubwa baada ya kuwepo kwa janga la UKIMWI hivyo watu wenye wapenzi wengi, wanaofanya mapenzi kwa njia ya haja kubwa, wajawazito, watumiaji wakubwa wa sigara na pombe, watu wanaofanya mapenzi kwa njia ya mdomo Wana hatari ya kupata tatizo hili.
DALILI ZA MASUNDOSUNDO
👉mgonjwa wa tatizo hili hutokewa na vinyama Laini vidogovidogo vinavyojitokeza juu ya ngozi katika maeneo tofauti (MFANO HALISI TIZAMA KATIKA PICHA HIZO) ingawa wakati mwingine huwa ni vidogo kiasi cha kutoweza kuonekana kwa njia ya kawaida
👉mgonjwa kupata ganzi maeneo yaliyozungukwa na Masundosundo
👉kutokwa na uchafu sehem za siri na kuwashwa kupita maelezo
👉kutokwa damu ukeni mara baada ya kufanya tendo la ndoa MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA UGONJWA HUU
°matibabu ya tatizo hili hupatikana kirahisi nchini Tanzania na tiba hutolewa kwa kufuata utaratibu wa Majibu yaliyopatikana katika vipimo mbalimbali ambapo matibabu huwenda kuwa kufanyiwa operation kuondoa vinyama ingawaje tiba hii haina ufanisi mzuri kwasababu huweza kutengeneza madhara zaidi na uwezekano mkubwa wa kupata kansa hivyo tiba nzuri ni kutumia dawa ambazo zitatibu na kuondoa tatizo hilo na mgonjwa kupona kabisa ila cha kuzingatia ni kwamba ugonjwa huu ni wa kuambikiza hivyo inashauriwa wenza wote kupata matibabu hata kama atajihisi hana dalili yoyote ni vyema akafanya vipimo ili kujihadhari kabla ugonjwa haujaleta madhara zaidi na uwezekano mkubwa ~Waswahili wanasema bora kinga kuliko matibabu hivyo ni bora ukaepuka ugonjwa huu kwa kuepuka yafuatayo
👉EPUKA KUWA NA WAPENZI WENGI
👉EPUKA KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
👉EPUKA KUTUMIA DAWA ZA KULEVYA, SIGARA NA POMBE
👉ACHA ORAL SEX KAMA UTASHINDWA BASI KUA NA MPENZI MMOJA TU UTAKAYEKUA UNAMNYONYA SEHEMU ZA SIRI ZINGATIA MAPENZI NI UJUZI LAKINI AFYA YAKO NI MALI ZAIDI WADADA /WAKAKA WENGI MMEKUA MKIFANYA HIVI KWA LENGO LA KUWARIDHISHA KILA MNAOKUTANA NAO KIMWILI KITU KINACHOKUWEKA KATIKA HATARI YA KUPATA TATIZO HILI AU KANSA YA KOO
NOTED :NDUGU RAFIKI Ugonjwa huu una madhara makubwa unaweza kusababisha kansa ya kizazi, kansa ya uume, kansa ya njia ya haja kubwa NK hivyo ni vyema ukapata matibabu ya uhakika iwapo una tatizo hili na kama hauna tatizo hili ni vyema ukajiepusha na ugonjwa huu
NDUGU RAFIKI KAMA UNA TATIZO/MASWALI /MAONI NIANDIKIE KUPITIA email nsalum998 @gmail.com au text me kwa namba 0689538628
PLZ USISAHAU KUSHARE, KUKOMENT NA WATAG RAFIKI ZAKO WAJIFUNZE 

Jumatano, 12 Agosti 2015

JE, UNAYAJUA MADHARA YA KUKOSA CHOO KWA MUDA MREFU? ??

FAHAMU ATHARI YA TATIZO LA KUTOPATA CHOO NA NAMNA YA KUEPUKA TATIZO HILI 
Habari za leo rafiki ni matumaini yangu unaendelea vyema na kufurahia uwepo wa blog hii, Nimepokea email nyingi kuhusu tatizo la kutopata choo hvyo nimeona ni heri kuzungumzia hapa ili wote mfahamu tatizo hili 
~tatizo Hili ni sugu sana miongoni mwa watu wengi na kwa watoto wadogo pia  Bila kujua ni tatizo ambalo linahitaji tiba ya haraka hata hivyo wengi huwa wanapuuzia na kuona ni tatizo la kawaida, LAHASHA!!! Napenda kukuambia rafiki tatizo la kutopata choo kwa Muda mrefu ndio chanzo cha magonjwa mengine tena ya hatari zaidi kwasababu mtu unapokosa choo kikubwa kwa siku kadhaa uchafu unaotakiwa kutoka hujikusanya tumboni na unapokosa sehemu ya kutokea unahamia kwenye damu na kuwa sumu na chanzo cha maradhi mengine ambayo hujitokeza baadae na kukuathiri zaidi 
~kwa kawaida mtu anapaswa kupata choo cha uhakika japo mara moja kwa siku na mara Tatu kwa wiki hivyo iwapo unakosa choo kwa siku Tatu ilhali unakula elewa moja kwa moja una tatizo katika mfumo wa mmeng'enyo 
CHANZO CHA TATIZO HILI LA KUTOPATA CHOO 
~tatizo hili husababishwa zaidi na ulaji mbovu wa vyakula na kutokujizoesha kwenda haja mara kwa mara pia kula vyakula vilivyokobolewa na matumizi mabaya ya dawa na magonjwa mengine pia mabadiliko ya hormone 
DALILI ZA KUTOPATA CHOO 
~dalili za tatizo hili ni ÷
👉KUPATA HOMA KALI 
👉KUTETEMEKA KWA BARIDI 
👉KUTUMIA NGUVU NYINGI NA MUDA MWINGI KUJISAIDIA 
👉ULIMI KUWA NA UTANDU MWEUPE NA KUTOA HARUFU MBAYA 
👉KUKOSA HAMU YA KULA 
👉TUMBO KUJAA GESI 
👉KUPATA VIDONDA SEHEMU YA NNJE YA HAJA KUBWA 
NAMNA YA KUTIBU NA KUEPUKA TATIZO LA KUTOPATA CHOO 
~matibabu ya tatizo la kutopata choo kwa ufup ni magumu na marahisi pia kutokana na ukubwa wa tatizo pia hata hivyo kila mtu anaweza kujikinga na tatizo hili kwa kufuata kanuni za ulaji wa lishe bora kwasababu tatizo la kutopata choo husababishwa na namna unavyokula au kuishi hivyo ukifuata kanuni za lishe bora tatizo hili halitakupata hivyo njia sahihi ya kujikinga na tatizo la kutopata choo ni kula nafaka zsizokobolewa, matunda, mbogamboga na maji kwa wingi 
~matibabu hufanyika kwa kuangalia ukubwa wa tatizo na Hali ya mhusika kwan matibabu ya mtoto sio sawa na ya mtu mzima mwenye miaka 70 Hali kadhalika tatizo hili likijulikana mapema huwa rahisi kulikabili tofauti na tatizo la mda mrefu ambapo tiba Yake huweza kuwa kubwa haswa ambapo tiba Yake huhusisha vidonge na chakula na hata kufanyiwa upasuaji kuondoa kinyesi kilichoganda katika damu na kuendelea na matibabu ya chakula 
MADHARA YA KUKOSA CHOO KWA MUDA MREFU 
~madhara ya kukosa choo kwa Muda mrefu ni÷
👉KUPATA SARATANI YA UTUMBO 
👉FIGO KUSHINDWA KUFANYA KAZI VIZURI 
👉KUPATA PRESHA NA KUPATA UGONJWA WA INI 
👉KUPATA MAGONJWA YA MOYO NK 
KUMBUKA :zingatia kula milo mitatu kila siku, kula vyakula vyenye nyuzinyuzi nyingi (high fibre diet), kunywa maji mengi na fanya mazoezi mara kwa mara pia usizoee kutumia dawa za kemikali ovyo ovyo ovyo 
NDUGU RAFIKI KAMA UNA TATIZO LA KUTOPATA AU NDUGU YAKO ANA TATIZO HILI KWA MUDA MREFU WASILIANA NAMI 0689538628 KWA USHAURI WA MATIBABU ZAIDI 
JE, UMEJIFUNZA???!! ! BASI SHARE NA WENZAKO WAJIFUNZE