BREAKING
  • FANGASI UKENI

    Pata suluhisho la tatizo la fangasi ukeni pamoja na ushauri utakaokufanya uwe salama daima

  • TIBA YA NGUVU ZA KIUME

    Okoa nyumba yako kwa kupata dawa itakayo ongeza nguvu zako za kiume na kudumisha unyumba daima

  • SULUHISHO LA U.T.I

    Je hauna ufahamu wowote kuhusu U.T.I ?Je Unakabiliwa na tatizo la U.T.I?Wasiliana nami nikujuze zaidi huenda una tatizo la U.T.I lakini haujijui,na kama unalo basi tiba yake ipo

  • TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO

    Je Umesumbuliwa na vidonda vya tumbo kwa muda mrefu pasina kupata suluhisho,wasiliana nami nikupatie dawa itakayoondoa tatizo lako kabisa

BannerFans.com

Jumamosi, 4 Februari 2017

SULUHISHO LA NGOZI YENYE MAFUTA

SULUHISHO LA NGOZI YENYE MAFUTA

Asalaam alaykum warhmatullah wabarakatul, alhamdulillah ni siku nyingine Allah katujaalia sifa na shukran zirudi kwake aliye juu na aliye mkuu
Naam,Leo twazungumzia ngozi yenye mafuta na suluhisho lake

NGOZI YA MAFUTA IPOJE?
Ngozi yenye mafuta kwa kawaida huwa inang'ara, nene na yenye rangi iliyotitia.
 Mara nyingi ngozi yenye mafuta mengi sana huwa na chunusi nyingi na vipelepele na mara nyingine huwa na chunusi zenye vichwa vyeusi. Katika aina hizi za ngozi mafuta hutokana na tezi za sebaceous na kuzalisha mafuta zaidi ya kiwango kinachotakiwa,Mafuta hayo husambaa katika ngozi na kuifanya iwe na mafuta mengi

Sababu zinazosababisha ngozi kuwa na mafuta:
• Kurithi
• Lishe mbovu
• Kuzidi kwa viwango vya  homoni mbalimbali mwilini.
• Ujauzito.
• Vidonge vya kuzuia mimba.
• Baadhi ya vipodozi .
• Hali ya unyevu (humidity) na hali ya hewa ya joto.

Namna ya kutunza ngozi zenye mafuta

Faida kubwa ya kuwa na ngozi yenye mafuta ni kuwa haizeeki kwa haraka ikilinganishwa na aina nyinginezo za ngozi. Miongoni mwa mambo yanayosaidia ili kuitunza ngozi yenye mafuta na kuiepusha na chunusi na hali isiyopendeza ni:-
1. Ngozi yenye mafuta inahitajia kusafishwa vyema kwa maji ya moto na sabuni ili kuzuia vinyweleo visizibwe na mafuta.
2. Epusha vifaa vigumu visikwaruze uso wako na kupelekea ngozi kubanduka, kwani suala hilo husababisha tezi za mafuta kufanya kazi zaidi ili kujaza sehemu iliyopotea ya mafuta.
3. Epuka kutumia vipodozi ambavyo huifanya ngozi yako ipoteze maji au kukauka. Kwani husababisha sehemu ya juu ya ngozi inyauke, na hivyo kusababisha mafuta kuziba vinyweleo na kupelekea kutokea vichwa vyeusi.
4. Jitahidi kuitunza vyema ngozi yako na kuisafisha vizuri. Jaribu kuosha uso mara mbili au tatu kwa siku. Usioshe mara nyingi kwani kufanya hivyo huufanya uso kutoa mafuta zaidi.
5. Chagua kile unachosafishia kwa makini, jiepushe kutumia cream nzito nzito au vifaa vugumu wakati wa kuosha uso wako. Ni bora utumie sabuni za kawaida zisizokuwa na madawa na kemikali, Unaweza kutumia lotion ya kuua bacteria au sabuni zisizo na dawa nyingi (lightly medicated), au sabuni zenye madini mbalimbali. Ni bora usioshe au kutumia lotion au michanganyiko yenye alkoholi.
6. Tumia maji ya moto au ya vuguvugu wakati unaosha uso wako.
7. Wakati unapoosha uso wako, ukande kwa kutumia ncha za vidole, jiepushe kupaka sabuni moja kwa moja usoni, inaweza kuganda na kuzuia vinyweleo kuziba.
8. Kutumia mask za udongo (clay) na tope (mud) husaidia katika ngozi za aina hii. Ni bora utumie mask mara moja au mbili kwa wiki.


9. Jitahidi kutumia vipodozi vya uso ambavyo vimetengenezwa kwa ajili ya ngozi yenye mafuta.

FAHAMU SABUNI YA PEARL SOAP MSAADA MKUBWA KWA WENYE NGOZI ZENYE MAFUTA

Hii ni sabuni iliyotengezwa kutokana na magamba ya viumbe wa baharini kama simbi, konokono na viumbe wengine wa baharini.
Magamba hayo yanasagwa na kutolewa Mali ghafi ya kutengeneza sabuni bora pearl soap.

*KAZI ZAKE*
~kutengeneza uzuri wa ngozi iwe na ubora wake..
~Inaimarisha uasili wa ngozi..
~Inaondoa mafuta na jasho na kuifanya ngozi kubaki kavu na safi.
~Inasafisha na inaondoa sumu ndani ya ngozi..
~Inaondoa mabaka na upele..
~Huponya muendelezo wa tishu zilizo haribika ndani ya ngozi..
~Huondoa mafuta yaliyoganda na kuziba vinyweleo na kuifanya ipumue vzr...
~Inaondoa chunusi na kuifanya sura ing'ae.
~Inang'arisha ngozi
~Inazuia uharibifu wa ngozi unaotokana na miali ya jua na miali na kemikali nyingine kupitia ngozi.
~Inaondoa mba wa shingoni, mwilini na hata kichwani,
~Inaondoa Fungus za aina zote hata kwa wanaonuka miguu wameliwa vidole wakivua viatu, .
~Inaondoa harara kwa wanaokaa maeneo ya joto kali
Ni nzuri kwa wanawake na wanaume watoto, vijana na wazee..

*MATUMIZI*
1.loweka ngozi kwa maji..
2.paka sabuni juu ya ngozi..
3.sugu kwa dakika 1-3.....
4.suuza kwa maji safi.
5.tumia mara 2 kwa siku kupata matokeo mazuri
Ina harufu nzuri na isiyoumiza pua zako,harufu salama ya maua na zabibu..

*ANGALIZO*
sabuni hii haijatengenezwa kwa kemikali za viwandani ni Tiba mbadala, hivyo unashauriwa kuitumia na kutokupaka vipodozi vya kemikali, hasa Lotion zenye hydroquinone, ina maana unatibu Kisha unajeruhi tena, Tumia Lotion zisizo na hizo kemikali.
*_Kwa Kuzipata sabuni hizi wasiliana nasi kwa kupiga au watsup no. +255623026602 kwa sh.5,000 kwa rejareja na bei ya jumla pia zinapatikana.