BREAKING
  • FANGASI UKENI

    Pata suluhisho la tatizo la fangasi ukeni pamoja na ushauri utakaokufanya uwe salama daima

  • TIBA YA NGUVU ZA KIUME

    Okoa nyumba yako kwa kupata dawa itakayo ongeza nguvu zako za kiume na kudumisha unyumba daima

  • SULUHISHO LA U.T.I

    Je hauna ufahamu wowote kuhusu U.T.I ?Je Unakabiliwa na tatizo la U.T.I?Wasiliana nami nikujuze zaidi huenda una tatizo la U.T.I lakini haujijui,na kama unalo basi tiba yake ipo

  • TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO

    Je Umesumbuliwa na vidonda vya tumbo kwa muda mrefu pasina kupata suluhisho,wasiliana nami nikupatie dawa itakayoondoa tatizo lako kabisa

BannerFans.com

Jumapili, 9 Oktoba 2016

JE, WAZIJUA FAIDA ZA TANGAWIZI NA ASALI? SOMA HAPA ILI KUFAHAMU

FAHAMU FAIDA 48 ZA JUISI YA TANGAWIZI AMBAZO ULIKUWA HUZIJUWI ;
Asaalam alaykum warhmatullah wabarakatul mpenzi msomaji wa page hii, ni matumaini yangu umzima kabisa,kumradhi Kwa ukimya wangu nilibanana na majukum ya hapa na pale ila sasa namshukuru ALLAH wepesi umepatikana na nimeweza kurejea tena hapa,
Leo napenda tufaham faida za tangawizi mwilini ambazo ni ...

1. Huondoa sumu mwilini haraka sana,

2. Huua bakteria wa aina nyingi mwilini hata salmonella ndani ya mwili hata juu ya ngozi,

3. Kuna viua vijasumu (antibiotics) vya asili viwili kwenye tangawizi,

4. Huondoa uvimbe mwilini,

5. Huondoa msongamano mapafuni,

6. Tangawizi inayo ‘zingibain’ ambayo huua vimelea mbalimbali vya magonjwa na mayai yake,

7. Huondoa maumivu ya koo,

8. Huua virusi wa homa,

9. Huondoa maumivu mbalimbali mwilini,

10. Huondoa homa hata homa ya baridi (chills),

11. Hutibu saratani ya tezi dume. Tangawizi huua kimeng’enya ambacho ni chakula cha seli za kansa ya tezi dume kiitwacho ‘5-LO enzymes’ na seli hizo za kansa hufa ndani ya masaa mawili au manne bila hicho kimeng’enya.

12. Tangawizi ina kiinilishe mhimu sana ambacho huzuia kuongezeka kwa seli za kansa ya kongosho kiitwacho kwa kitaalamu kama ‘gingerol”

13. Hutibu kansa zinazoweza kusababishwa na kupata choo kigumu muda mrefu (constipation-r
elated cancer)

14. Ni dawa nzuri kwa kansa ya kwenye damu (leukemia)

15. Ni dawa nzuri dhidi ya kansa ya mapafu (lung cancer)

16. Huzuia kujizalisha kwa bakteria aitwaye ‘Helicobacter pylori’, bakteria huyu ndiye husababisha vidonda vya tumbo mwilini, pia hutibu kiungulia, na kanza mbalimbali za tumbo,

17. Ni msaada sana katika kuzuia na kutibu kansa ya titi,

18. Hutibu kanza za kwenye kizazi na kanza za kwenye mirija ya uzazi,

19. Huongeza msukumo wa damu,

20. Husaidia kuzuia shambulio la moyo,

21. Huzuia damu kuganda,

22. Hushusha kolesto,

23. Husafisha damu,

24. Husaidia watu wenye kukakamaa kwa mishipa,

25. Hutibu shinikizo la juu la damu,

26. Husafisha utumbo mpana,

27. Hupunguza mishtuko kwenye utumbo mpana na tumbo kuunguruma,

28. Huondoa GESI TUMBONI KIRAHISI ZAIDI,

29. Husaidia mfumo wa mmeng’enyo wa chakula,

30. Dawa nzuri ya kuondoa uchovu,

31. Husaidia kuzuia kutapika. Husaidia hata wale wanaosafiri baharini wasipatwe na kichefuchefu,

32. Husaidia kuondoa maumivu kutokana na mkao mmoja wa mrefu ama kusimama au kukaa,

33. Husaidia uzalishwaji wa juisi vimeng’enya kwa ajili ya kumeng’enya chakula,

34. Husaidia kuzuia kuharisha,

35. Husaidia mfumo wa upumuaji na kutuliza dalili za pumu,

36. Hutibu tatizo la miguu kuwaka moto
37. Hutibu homa ya kichwa,

38. Hutibu maumivu ya tumbo wakati wa hedhi,

39. Hutibu homa za asubuhi hata kwa mama mjamzito,

40. Husaidia kupunguza homa ya baridi yabisi (helps reduce inflammation of arthritis),

41. Huimarisha afya ya figo,

42. Husaidia kupunguza uchovu unaotokana na matibabu yaliyopita ya mionzi
43. Ina madini ya potassium ya kutosha,

44. Ina madini ya manganese ambayo ni mhimu katika kuuongeza mfumo wa kinga ya mwili dhidi ya magonjwa mbalimbali, hulinda kuta za moyo, hulinda mishipa ya damu na mishipa ambako mikojo hupita,

45. Ina kitu kinaitwa ‘silicon’ ambacho chenyewe kazi yake hasa ni kuongeza afya ya ngozi, nywele, meno na kucha,

46. Husaidia umeng’enywaji wa madini ya calcium,

47. Pia ina vitamini A, C, E, B-complex, chuma, zinki , magnesium, phosphorus, sodium, calcium, na beta-carotene,

48. Hulinda kuta za moyo, hulinda mishipa ya damu na mishipa ambako mkojo hupita

Asante Kwa kuwa nami rafiki naomba usikose kushare na wengine ili waweze kutambua faida hizi pia kama unasumbuliwa na tatizo lolote lihusuyo afya usikose kuwasiliana nami ili kuweza kupata Ushauri zaidi

PIA KUSOMA MAKALA MBALIMBALI ZA AFYA USIKOSE KUTEMBELEA BLOG HII
naythamhealthcare.blogspot.com

 Makala hii imeandikwa na Dr Naytham S Masoud
Email -nsalum998@gmail.com
+255623026602/+255746465095

TAFADHALI SHARE NA WENGINE UJUMBE HUU WAPATE KUJIFUNZA

FAHAMU FAIDA 11 ZA KUNYWA MAJI YENYE NDIMU ASUBUHI



HIZI NDIO FAIDA 11 ZA KUNYWA MAJI YA NDIMU ASUBUHI 

 Asalaam alaykum warhmatullah wabarakatul, Nina imani mmeamka salama na mnaendelea vyema wapendwa ni jambo la kumshukuru mungu Kwa hakika 

Mpenzi msomaji nina imani umesikia mara nyingi kuwa kunywa maji kwa wingi hasa asubuhi kuna faida kubwa sana za kiafya mwilini,lakini kunywa maji yenye ndimu na vuguvugu kuna faida maradufu na ni rahisi kufanya kila siku. Vitamin C nyingi iliyomo katika limao na ndimu ni siri ya faida za tunda hili,ukiachia vitamini C ndimu ina vitamini B-complex,  madini ya Kalsiamu, chuma, magnesiamu na potasiumu, na fiba (Ndimu ina potasiumu kwa wingi kuliko tofaa(apple) au  Zabibu).

Kunywa maji peke yake (yasiyo na kitu) wakati wa asubuhi huwapa tabu baadhi ya watu,wengine hupata kichefuchefu . Lakini maji yaliyotiwa ndimu kidogo huwa na radha nzuri zaidi na watu wote wanaweza kunywa bila shida.

Kuna faida nyingi ambazo utazipata kwa kunywa maji yenye ndimu au limao na katika makala hii tunazitaja faida 11 muhimu.

Faida 1: Huchochea Mmeng’enyo Wa Chakula Tumboni

Maji yenye ndimu husaidia chakula kusagika vizuri na haraka katika mfumo wa chakula. Japo limao lina asidi(acid) lakini likiwa tumboni huwa alkali (alkaline) na kufanya mazingira mazuri kwa usagaji wa chakula.

Pia maji ya uvuguvugu husaidia kusawazisha utumbo uliojikunja na kutoa mawimbi tumboni na kufanya chakula kusukumwa vizuri.

Faida 2: Huboresha Kinga Za Mwili

Vitamini C na potasiumu iliyomo kwa wingi katika limao inasaidia katika utengenezaji wa seli za kinga katika mwili.

 Faida 3: Husaidia Unyonywaji Wa Madini Mwilini

Vitamini C iliyomo katika limao husaidia kunyonywa kwa madini mwilini hasa madini ya chuma ambayo ni muhimu kwa utengenezaji wa damu. Hata kama maji ya ndimu yakiwa baridi.

Faida 4: Husaidia Kinga Dhidi Ya Saratani

Vitamini C ni antioksidant (antioxidant) ambayo inasaidia kuondoa free radicals mwilini ambazo zimetambulika kusababisha saratani (cancer).

 Faida 5: Husaidia Kupunguza Hatari Ya Kiharusi

Kutokana na matokeo ya kitafiti ulaji wa matunda jamii ya limao(citrus fruits) inasaidia kupunguza hatari ya kupatwa na shambulio la kiharusi aina ya ischemic (ischemic stroke) hasa kwa wanawake.

Soma pia: Madhara ya kula chumvi nyingi kwa afya ya binadamu

Faida 6: Usafishaji Wa Mwili Na Damu

Limao husaidia kusafisha damu kwa kuondoa uchafu. Limao pia husafisha figo ,ini na mfumo wa chakula.

 Faida 7: Kurekebisha Sukari Katika Mwili


Limao husaidia kuweka kiasi cha sukari tumboni na katika mwili kuwa katika kiasi stahili.

Hii inawasaidia sana wagonjwa wa kisukari katika ulaji wao.

Faida 8: Dawa Ya Kikohozi Na Mafua

Limao ikitiwa katika maji ya uvuguvugu na asali husaidia sana katika kutibu mafua na kikohozi kwa njia ya asili.

Faida 9: Inasaidia Urekebishaji Wa Ngozi Na Kupona Makovu

Limao inasaidia kufanya ngozi isizeeke. Kama unataka kubaki kijana basi limao litakusaidia.

Tabia za vitamin C za kusafisha uchafu zinasababisha kufanya ngozi kuwa na afya na kutozeeka haraka.

 Faida 10: Husaidia Kupungua Uzito

Limao hupunguza hamu ya kula. Na inajulikana kuwa sababu kubwa ya watu kuwa na uzito mkubwa ni kula chakula kingi au kula mara kwa mara. Limao litakufanya ujisikie kushiba muda mrefu hivyo kusaidia wale amabao wanataka kupungua uzito.

 Faida 11: Kuondoa Harufu Ya Mdomo

Limao husaidia kuua bakteria wabaya mdomoni ambao husababisha harufu mbaya.

 Anza Siku Kwa Kunywa Maji Yenye Ndimu Kila Siku,
Ni zoezi rahisi na haraka kabisa, weka maji yenye joto kidogo (vuguvugu) katika glasi au kikombe , kata limao au ndimu vipande viwili na kamua kipande kimoja tu ndani ya glasi yenye maji.

Kunywa na uanze siku mpya. Ni vizuri ukafanya hivi dakika 30 kabla ya kula chochote kingine kwa faida zaidi.
 NB :HAIFAI KWA WENYE VIDONDA VYA TUMBO 
  
 Asante Kwa kuwa nami kupata elimu hii mpenzi msomaji kama una swali au maoni unaweza kuniandikia ujumbe kupitia namba na emails yangu hapo chini 

Kwa makala zaidi za afya naomba utembelee blog yangu ya 
Naythamhealthcare.blogspot.com 

makala hii imeandaliwa na Dr Naytham S Masoud 
email nsalum9998@gmail.com
0689538628

  
TAFADHALI SHARE NA WENGINE WAPATE KUJIFUNZA ELIMU HII